Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ni mojawapo ya vyuo vikuu kongwe na vinavyoongoza kwa ubora nchini Tanzania. Kila mwaka, chuo hiki hupokea maelfu ya wanafunzi wanaojiunga na programu mbalimbali za shahada. Ili kuwasaidia waombaji na wanafunzi kujipanga kifedha, ni muhimu kufahamu ada za masomo kwa kila programu.
Makala hii inalenga kutoa muhtasari wa ada za shahada tofauti zinazotolewa UDSM, ili kukupa uelewa sahihi na kukuwezesha kufanya maamuzi ya kimipango kuhusu masomo yako ya juu. Nimekuwekea orodha ya vyuo(college) vinavyo toa shahada hizo pamoja na ada
Kitengo Cha Elimu ya Sanaa
Orodha ya vyuo vinavyotoa:
- CoSS – College of Social Sciences
- CoHU – College of Humanities
- DUCE – Dar es Salaam University College of Education
- MUCE – Mkwawa University College of Education
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| BA in Heritage Management
Music Art and Design Theatre Arts Film and Television Language Studies Literature Philosophy and Ethics Anthropology History Statistics Psychology Bachelor of Arts with Education Bachelor of Education in Arts |
1,000,000/= | 2,100/= |
Kitengo Cha Elimu Ya Lugha
Orodha ya vyuo vinavyotoa:
- IDS – Institute of Development Studies
- IKS – Institute of Kiswahili Studies
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| Development Studies
Kiswahili |
1,000,000/= | 2,100/= |
Kitengo Cha Elimu Ya Makundi Maalumu
SoEd – School of Education
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| BEd in Adult & Community Education
Commerce Early Childhood Education Psychology Physical Education and Sports |
1,000,000/= | 2,100/= |
Kitengo Cha Uhandisi Na Teknolojia
Coet – College of Engineering and Technology
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| BSc in Geomatics
Quantity Surveying |
1,100,000/= | 2,700/= |
| All programmes (except Geomatics and Quantity Surveying) | 1,300,000/= | 2,700/= |
Kitengo Cha Jamii, Historia Na Mazingira
- CoSS – College of Social Sciences
- CoHU – College of Humanities
- Library
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| BA in Archaeology
Geography and Environmental Studies Economics Political Science and Public Administration Sociology Economics & Statistics Bachelor of Social Work BA Library Information Studies |
1,300,000/= | 2,700/= |
Kitengo Cha Uandishi Wa Habari
SJMC – School of Journalism and Mass Communication
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| BA in Journalism
Mass Communication Public Relations Advertising |
1,300,000/= | 2,700/= |
Kitengo Cha Elimu
- SoEd – School of Education
- DUCE – Dar es Salaam University College of Education
- MUCE – Mkwawa University College of Education
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| Bachelor of Education (BEed) in Science
BSc with Education |
1,300,000/= | 2,700/= |
Kitengo Cha Biashara, Sheria Na Tehama Ya Mawasiliano
- UDBS: University of Dar es Salaam Business School
- UDSoL: University of Dar es Salaam School of Law
- CoICT: College of Information and Communication Technologies
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| BCommerce (except Accounting)
BA in Law Enforcement |
1,300,000/= | 2,700/= |
| BCommerce (Accounting)
LLB BSc in Electronic Science and Communication BSc in Computer Science BSc in Computer Engineering and Information Technology BSc in Telecommunication Engineering B.Sc. with Computer Science BSc in Business Information Technology BSc in Electronics Engineering |
1,500,000/= | 3,500/= |
Kitengo Cha Sayansi Inayo Husiana Na Maswala Ya Asili
CoNAS – College of Natural and Applied Science
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| All programmes | 1,300,000/= | 2,700/= |
Kituo Cha Elimu Y Afya na Sayansi Ya Majini(Marine)
- IMS: Institute of Marine Sciences
- MCHAS: Mbeya College of Health and Allied Sciences
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| B.Sc. Marine Sciences
B.Sc. Biomedical Engineering |
1,300,000/= | 2,700/= |
| Doctor of Medicine | 1,800,000/= | 5672/= |
Kitengo Cha Kilimo Na Chakula
CoAF – College of Agricultural Science And Food Technology
| Shahada inayo tolewa | Ada kwa wanafunzi Watanzania(TZS) | Ada kwa Wageni(USD) |
| All Programmes | 1,300,000/= | 2,700/= |
Kitengo Cha Sheria