Education

Ifahamu wizara ya Elimu Kiundani | 2026

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ina Jukumu la kusimamia na kuratibu utoaji wa Elimu nchini kwa kuandaa Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali kutoka ngazi ya Elimu ya Awali hadi Elimu ya Juu. Aidha, Wizara ina jukumu la kusimamia na kuratibu maendeleo ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu; pamoja na matumizi yake katika nyanja mbalimbali ikiwemo Biashara, Viwanda, Kilimo na Maisha

Continue reading

Jifunze kuhusu vyuo vya VETA | vocational-education-and-training-authority

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ni taasisi ya serikali yenye mamlaka kamili, iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Sura ya 82 mnamo mwaka 1994. VETA imepewa jukumu la kutoa, kufadhili na kuratibu elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini Tanzania. Taasisi hii imeanziswa ikiwa na dira inayo sema “Tanzania yenye mafundi

Continue reading